Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki ambae ni Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akizindua Baraza la Watoto wa Shehia ya Kiembesamaki katika sherehe zilizofanyika Tawi la CCM Kiembesamaki. 
Baadhi ya watoto wa Shehia ya Kiembesamaki wakimsikiliza Mwakilishi wao Mahmoud Thabit Kombo  wakati wa uzinduzi wa Baraza lao kwenye sherehe zilizofanyika Tawi la CCM Kiembesamaki Wilaya Magharibi ‘B’.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
 Katibu wa Baraza la Watoto Shehia ya Kiembesamaki Zulfa Mohd Masanja akisoma risala wakati wa sherehe za ufunguzi wa Baraza hilo  zilizofanyika Tawi la CCM Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi ‘B’. 
 Mgeni rasmi katika uzinduzi wa Baraza hilo, Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki ambae pia ni Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akifuatilia maonyesho ya watoto wa Baraza hilo (kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri ya watoto Zanzibar  Mundhir Hamdan Said. 
 Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Shehia ya Kiembesamaki Bimkubwa Haji Hassan akimkaribisha mgeni rasmi kuzindua Baraza la watoto la shehia hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...