Jaji wa Mahakama Kuu, Agnes Mgeyekwa akipokea ua kutoka kwa afisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Christina Binali kufuatia kuteuliwa kushika wadhifa huo. Mgeyekwa kabla ya kuteuliwa alikuwa Katibu Msaidizi wa Tume.
 Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Casmir Kyuki akizungumza wakati wa kumpongeza Agnes Mgeyekwa kuteuliwa Jaji wa Mhakama Kuu ya Tanzania.
 Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania Mhe Agnes Mgeyekwa akitoa neno kwa watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria
 Katibu Msaidizi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Khalist Luanda akizungumza wakati wa kumpongeza Agnes Mgeyekwa kuteuliwa Jaji wa Mhakama Kuu Tanzania
 Naibu Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Asangye Bangu akizungumza wakati wa kumpongeza Agnes Mgeyekwa kuteuliwa Jaji wa Mhakama Kuu. Bangu ni mume wa mhe. Mgeyekwa
 Familia ya mhe. Jaji Agnes Mgeyekwa 
 Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria wakiwa katika picha ya pamoja na mhe. Jaji Agnes Mgeyekwa  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...