Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa uingereza anayeshughulikia
maswala ya Afrika Mhe. Rory Stewart alipomtembelea na kufanya naye
mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 23, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mkuu Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Uingereza
(DFID) nchini Bi. Elizabeth Arthy aliyeongozana na Waziri wa Mambo ya
Nje wa Uingereza anayeshughulikia maswala ya Afrika Mhe. Rory Stewart
pamoja na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Sarah Cooke
walipomtembelea na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam
leo Agosti 23, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika
mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza anayeshughulikia
maswala ya Afrika Mhe. Rory Stewart pamoja na Balozi wa Uingereza nchini
Tanzania Mhe. Sarah Cooke walipomtembelea na kufanya naye mazungumzo
Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 23, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana
na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza anayeshughulikia maswala ya
Afrika Mhe. Rory Stewart akiwa na Mkuu Shirika la Maendeleo la
Kimataifa la Uingereza (DFID) nchini Bi. Elizabeth Arthy pamoja na
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Sarah Cooke alipomtembelea na
kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 23, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana
na akiwa na Mkuu Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Uingereza
(DFID) nchini Bi. Elizabeth Arthy aliyeongozana na Waziri wa Mambo ya
Nje wa Uingereza anayeshughulikia maswala ya Afrika Mhe. Rory Stewart
pamoja na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Sarah Cooke Ikulu
jijini Dar es salaam leo Agosti 23, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na
wanahabari baada ya kufanya mazungumzo Waziri wa Mambo ya Nje wa
uingereza anayeshughulikia maswala ya Afrika Mhe. Rory Stewart akiwa na
Mkuu Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Uingereza (DFID) nchini Bi.
Elizabeth Arthy pamoja na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Sarah
Cooke baada ya kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo
Agosti 23, 2017.
Picha na IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...