Mbunge wa Jimbo la Busanda Mkoani Geita,Lolesia Bukwimba akikabidhi komputa kwenye idara ya vijana na wanawake kwenye ofisi za chama cha mapinduzi “(CCM)Mkoani Geita. 
Mbunge wa Jimbo la Busanda akikabidhi komputa kwa Katibu wa chama cha mapinduzi Wilaya ya Geita. 
Mbunge wa Busanda Lolesia Bukwimba ameeleza kuwa vifaa ambavyo amekabidhi kwenye ofisi ya CCM ni kutokana na hali ngumu ambayo walikuwa wakikutana nayo ya upungufu wa vitendea kazi kwenye Ofisi za CCM. 
Nje ya ofisi za CCM Mkoa wa Geita. 
PICHA ZOTE NA JOEL MADUKA WA MADUKA ONLINE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...