IJUE PIANO –
NA MANUFAA YAKE
Na Freddy Macha
Piano (au
kinanda) ni chombo mahsusi cha Wazungu. Kitaaluma muziki
maana yake ni vitu vitatu : melodi (unayoisikia bila hata kujua maneno na
kuipigia uluzi), ridhimu (mapigo), na mpangilio wa sauti (“harmony”). Kipengele
cha tatu ndiyo kigumu zaidi....
Kati ya vyombo
muhimu vya kitengo cha utunzi na
upangaji (“harmony”) wa muziki ni Piano na Gitaa.
Ila Piano
inaongoza Uzunguni.
Ndiyo maana kila utakapokwenda, makanisani, mabaa, mashuleni, majumbani na
hata vituo vya usafiri hukosi Piano. Kihistoria, watunzi mashuhuri wa muziki
ulimwenguni wametumia Piano kupanga vibao vyao vilivyofahamika na kupendwa
miaka mingi zaidi.
Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...