Ni miaka miwili sasa imepita tangu ututoke mpendwa wetu Abel Charles Yanga. 
Familia, ndugu, jamaa na marafiki bado tunakukumbuka sana kwa kuwa ulitugusa katika maisha yetu kwa namna ya kipekee sana.
Hakika pengo lako halitazibika kamwe. Sisi tulikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi.
Tunazidi kukuombea upumzike kwa amani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...