Ni miaka miwili sasa imepita tangu ututoke mpendwa wetu Abel Charles Yanga.
Familia, ndugu, jamaa na marafiki bado tunakukumbuka sana kwa kuwa ulitugusa katika maisha yetu kwa namna ya kipekee sana.
Hakika pengo lako halitazibika kamwe. Sisi tulikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi.
Tunazidi kukuombea upumzike kwa amani
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...