Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Abdallah
Bulembo akipewa na Wazee, heshima ya Kiongozi Mkuu wa Kabila la Wamasai
la Ulaigwanani, alipowasili ukumbini kuzungumza na Watendaji na viongozi
na wanachama wa CCM wakiwemo mabalozi, katika mji mdogo wa Mererani
mkoani Manyara, leo, May 27, 2017. (Picha na Bashir Nkoromo).
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi, Abdallah
Bulembo akizungumza ukumbini na Watendaji wa serikali, viongozi na
wanachama wa CCM wakiwemo wajumbe wa nyumba kumi, katika mji mdogo wa
Mererani mkoani Manyara, leo May 27, 2017.
Viongozi na wanachama wa CCM wakiwemo wajumbe wa nyumba kumi
wakishangilia wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa CCM,
Abdallah Bulembo alipozunumza nao ukumbini katika mji mdogo wa
Mererarini mkoani
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...