Mkurugenzi
wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akizungumza
wakati wa droo kubwa ya Kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo
jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha
na mkazi wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota
Hilux double cabin mpya ya mwaka 2016 katika kampeni hiyo iliyochukua
muda wa miezi mitatu. Kushoto ni Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea
Mabonye na Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo.
Mkurugenzi
wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akizungumza
wakati wa droo kubwa ya Kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo
jijini Dar es Salaam jana. Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na
mkazi wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota
Hilux double cabin mpya ya mwaka 2016 katika kampeni hiyo iliyochukua
muda wa miezi mitatu. Kushoto ni Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea
Mabonye na Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo.
Meneja
Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo (kulia), akizungumza kwa simu na mmoja wa
washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo katika droo iliyofanyika jijini
Dar es Salaam jana. Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na
mkazi wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota
Hilux double cabin mpya ya mwaka 2016 katika kampeni hiyo iliyochukua muda wa
miezi mitatu. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Filbert Mponzi,
Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea Mabonye na aliyesimama ni Mkaguzi
wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (GBT), Bakari Maggid.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...