Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi  (katikati), akizungumza wakati wa droo kubwa ya Kampeni ya akaunti ya  Malengo ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na mkazi  wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 katika kampeni hiyo iliyochukua muda wa miezi mitatu.  Kushoto ni Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea Mabonye na Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo.
 Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi  (katikati), akizungumza wakati wa droo kubwa ya Kampeni ya akaunti ya  Malengo ya benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na mkazi  wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 katika kampeni hiyo iliyochukua muda wa miezi mitatu.  Kushoto ni Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea Mabonye na Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo. 
Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo (kulia), akizungumza kwa simu na mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo katika droo iliyofanyika  jijini Dar es Salaam jana.   Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na mkazi  wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka 2016 katika kampeni hiyo iliyochukua muda wa miezi mitatu. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Filbert Mponzi,  Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea Mabonye na aliyesimama ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (GBT), Bakari Maggid. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...