Usiku wa Love Melodies and Lights ulioandaliwa maalum kwa ajili ya kuisherehekea siku ya wapendanao (Valentine’s day) ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 14 ya mwezi wa pili kila mwaka, na kwa kulitambua hilo, Wasanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya "bongofleva" ambao ni Ben Pol, Baraka The Prince na Jux walizikonga nyoyo za mashabiki wao vilivyo katika usiku huo, uliofanyika katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.

MC Pilipili akiweka sawa mbavu za wageni mbalimbali waliofika katika Usiku wa Love Melodies and Lights.
 Msanii Jux akifanya yake jukwaani katika Usiku wa Love Melodies and Lights.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...