Mwenyekiti wa Baraza la Kusimamia Mfumo wa Utoaji wa Leseni Zanzibar Vuai Mussa Vuai akimkaribisha Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Balozi Amina Salum Ali kufungua mafunzo ya siku moja ya Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi yaliyofanyika Ofisi ya Baraza Malindi, Mjini Zanzibar. 
 Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Balozi Amina Salum Ali akifungua mafunzo ya siku moja ya wajumbe wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi yaliyoandaliwa na Baraza la Kusimamia Mfumo wa Utoaji Leseni katika Ofisi yao iliyopo Malindi Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi wakimsikiliza Waziri wa Fedha Balozi Amina Salum alipokuwa akifungua mafunzo ya siku moja yaliyofanyika Ofisi ya Baraza hilo Malindi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Yussuf Hassan Iddi ambae ni muwakilishi wa Jimbo la Fuoni akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi baada ya kufungua mafunzo ya siku moja ya Kamati hiyo.Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...