Mkurugenzi mkuu na mwanzilishi wa Shield our Watoto(SOW) Bhoke Kirigiti kushoto na mumewe Peter Kirigiti katika hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya taasisi hiyo ya kulinda watoto dhidi ya ukatili na ghasia za kingono iliyofanyika Jumamosi Septemba 24 jijini Columbus Ohio.
Bhoke Kirigiti akizungumza.
Jummy Olawale mzungumzaji mkuu akitoa hotuba.
Jackie Mapigano akitoa sala ya Ufunguzi.
Home
Unlabelled
HAFLA YA SHIELD OUR WATOTO (SOW) YAFANA COLUMBUS, OHIO, MAREKANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...