Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta katika Mkutano wa
TICAD 6 kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC)
jijini Nairobi Agosti 28, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi
wakuu wa nchi mbalimbali wanaoshiriki katika Mkutano wa TICAD 6 kwenye
Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyeatta (KICC) jijini Nairobi
Agosti 28, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...